Hotline +255 768985500
Hotline +255 768985500
Dar es Salaam, Tanzania – 11 Februari 2026.
Benki ya Equity Tanzania, imezindua rasmi “Wezesha Account” akaunti ya amana ya muda maalum inayolenga kuboresha kesho yako kwa kuanza uwekezaji leo. Akaunti hii ya maana inawalenga watu binafsi, wajasiriamali na vyama/taasisi kukuza na kulinda mitaji yao kupitia uwekezaji salama unaotoa faida 13% kwa mwaka ikiwekwa kila mwezi. Akaunti hii inahitaji uwekezaji wa angalau shilingi 500,000 kama kima cha chini kwa muda wa miaka mitatu.Aidha, akaunti hii inaweza kutumika kama dhamana ya asilimia 80 ya thamani ya amana kuweka kupata mkopo, hivyo kumwezesha mteja kupata mkopo bila kuvunja uwekezaji wake. Uzinduzi huo umefanyika leo katika hoteli ya Serena, Dar es Salaam,ikidhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya fedha, wateja na wawakilishi wa vyombo vya habari. Wezesha akaunti imezinduliwa leo tarehe 11 Februari 2026 na dirisha la kuwekeza litafungwa tarehe 30 Aprili 2026.
Wezesha Account ni njia bora ya kuanza kuboresha kesho yako leo ya kifedha , inayowafaa watu wote ,kwa wajasiriamali inasaidia kuboresha na kuweza kupata mapato ya ziada kupitia riba na dhamana ya mkopo ambayo itawawezesha kukuza biashara zao, kwa wafanyabiashara kukuza na kulinda mali zao kwa faida thabiti ya 13% kwa mwaka, wanawake na vijana kujenga uhuru kifedha kwa kupata faida kila mwezi na fursa ya mkopo, na taasisi/wawekezaji kutumia amana yao kama dhamana ya 80% kufungua milango ya mikopo na fursa zaidi, yote hiki kwa uwekezaji wa angalau shilingi 500,000.
Kwa mujibu wa Benki ya Equity, Wezesha Account inalenga kukusanya jumla ya TZS bilioni 200. Lengo ni kuimarisha hali ya ufadhili wa benki na kusaidia ukuaji wa mikopo, hasa kwa Wajasiriamali Wadogo na Wakubwa (MSMEs). Akizungumza kwenye uzinduzi huo, Bi.Theresia Aloyce Mayanie, Mkuu wa kitengo cha Biashara wa Benki ya Equity, alisema:“Lengo letu ni kubadilisha maisha na kukuza fursa za uwekezaji wa kifedha. Wezesha Account ni zana ya kuwahamasisha watanzania na uhuru wa kifedha na kufungua milango ya maendeleo ya kiuchumi kuwa.”
Benki ya Equity inawaalika watanzania wote,watu binafsi, wajasiriamali na, vikundi, vyama taasisi kufungua Wezesha Akaunti leo na kuanza safari ya uwekezaji wenye faida ya kila mwezi na mustakabali imara wa kifedha. Huduma hii ya kufungua akaunti ya wezesha inapatikana katika matawi yote ya Equity Benki nchini,kwa maelezo na msaada zaidi piga 0768985500 au Email: info@equitybank.co.tz. Na kwenye tovuti:www.equitybank.co.tz.
Benki ya Equity Tanzania ni benki ya biashara inayosimamiwa na Benki Kuu ya Tanzania, ikiongozwa na dhamira ya kuboresha maisha ya watanzania kwa kuwapatia huduma za kifedha zenye ubora na nafuu mijini na vijijini. Uwekezaji huu wa wezesha akaunti unatokana na nidhamu thabiti ya kifedha na usimamizi bora wa mitaji wa Benki hii. Zaidi ya hayo, uwekezaji huu unakua juu ya msingi thabiti wa imani na uaminifu uliojengwa kwa muda mrefu katika soko la kifedha,ukiwa na dhamira ya kuendelea kuwekeza na kuwawezesha weja wake.
“Wezesha Account, Kesho Bora,huanza Leo.’’
Bw.Prosper Nambaya, Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya Equity Tanzania akizungumza na wadau wa sekta za kifedha, wageni walikwa pamoja na waandishi wa habari kwenye uzinduzi wa Wezesha Account.
Bi.Theresia Aloyce Mayanie, Mkuu wa kitengo cha biashara za kati na ndogondogo wa Benki ya Equity Tanzania, akizungumza na wadau wa sekta za kifedha , wageni walikwa pamoja na waandishi wa habari kwenye uzinduzi wa Wezesha Account
Bi.Shumbana Walwa,Mkuu wa kitengo cha Masoko akifanya mahujiano na Clouds TV, juu ya Wezesha Account.Equity Bank Tanzania limited imeingia ubia na Klabu ya Simba katika kutoa kadi zenye chapa zao...
View MoreEquity Bank has today kicked off the issuance of Simba Fan Cards to over 20 million fans of the...
View MoreEquity Bank Tanzania has today handed over 5 mobile police posts to the Ministry of Home Affairs...
View MoreBenki ya Equity imezindua huduma za benki kwa njia ya kimtandao, huduma hizi zilizopewa jina...
View MoreThe new tax settlement avenue will be available for all TRA clients including non- Equity Bank...
View MoreEquity Bank Group, on Thursday announced that its profit after tax for the third quarter of 2014...
View MoreRegional financial services provider Equity Bank Group has returned to its traditional growth path...
View MoreEquity Bank Group’s investment in ICT and Focus on SME boosts profits by 11 percent in the year...
View MoreEquity Bank and American Express today announced a partnership agreement, through which Equity Bank...
View MoreThe approvals, which were secured during the firm’s 11th Annual General Meeting (AGM) held today...
View MoreRegional banking group, Equity Bank's reduction of interest rates by 700 bps from 25% to 18% has...
View MoreEquity Bank Group strengthens its fundamentals while expenses of ICT, Innovation and Product Rollout...
View MoreThe Group’s total assets posted a 24% growth during the year to close at Ksh 243 billion up from...
View MorePartnership to increase financial inclusion and boost EMV migration efforts in the region.
View MoreThe new identity is aimed at creating a sustainable growth path and service delivery in today’s...
View MoreEquity becomes the 1st bank in Eastern and Central Africa to achieve this milestone paving way for...
View MoreBecomes the first bank in Eastern and Central Africa to achieve the trillion-shilling balance sheet...
View MoreThe Award is conferred annually to exceptional individuals who exemplify their outstanding `business...
View MoreThe service presents the exciting prospect for the Tanzania community to receive seamless...
View MoreEquity Bank (T) leo imenzidua rasmi akaunti maalum ya utunzani fedha kwa kujiwekea kidogo kidogo ili...
ZaidiEquity Bank (T) imeahidi kuendelea kutoa elimu ya fedha na mikopo nafuu kwa vikundi vya uwekezaji na...
ZaidiCustomers with Equity Bank accounts can now transact seamlessly in any of the Equity Bank branches...
View MoreCustomers will have the freedom to execute forex requirements in real-time in a safe, convenient and...
View MoreEquity Bank Kenya Limited has received two International Standards Certifications - ISO 20000 and...
View MoreEquity Bank Tanzania has announced the appointment of Ms. Isabel Maganga as the new Managing...
View MoreEquity’s Eastern and Central Africa Recovery and Resilience plan is envisaged to provide financing...
View MoreEquity Group has eased its defensive strategy that had been deployed during the economic uncertainty...
View MoreThe partnership will champion the implementation of the Africa Recovery and Resilience Plan which...
View MoreDelegates from the United States of America (USA) have arrived in Dar es Salaam, Tanzania for a...
View MoreEquity Group Holdings Plc today reported Kshs.34.4 billion shillings profit after tax for the nine...
View MoreEQUITY GROUP REPORTS A RECORD KES 46.1B NET PROFIT AND A DIVIDEND PAYOUT OF KES 15.1B
View MoreNairobi Monday 13th May 2024… After reporting a 5% decline in profit after tax for the year ended...
Read MoreNairobi, Kenya, 3rd September 2024: Equity Group unveiled its third annual sustainability report for...
Read MoreNAIROBI, 12th November 2024: Against a backdrop of continued macroeconomic headwinds of high...
Read MoreNAIROBI, 27th March 2025: Equity Group Holdings Plc continues to deliver solid financial results,...
Read MoreNAIROBI, 29th May 2025: Demonstrating strategic agility and resilience in a dynamic global economic...
Read MoreEquity Group Holdings Plc has announced its Q3 2025 results, showcasing a robust performance driven...
Read MoreAsset Loan to Empower Women and Youth Entrepreneurs in Tailoring and Fashion Design Sector
Read MoreMwanza, Tanzania –Tarehe 24 Januari 2026. Benki ya Equity Tanzania, kwa ushirikiano na wadau...
Read More