Hotline +255 768985500
Hotline +255 768985500
Mwanza, Tanzania –Tarehe 24 Januari 2026.
Benki ya Equity Tanzania, kwa ushirikiano na wadau mbalimbali wa mazingira, imeongoza shughuli za kijamii na kimazingira katika eneo la Ziwa Victoria jijini Mwanza. Shughuli hizo zilijumuisha,kukabidhi rasmi ya vifaa vipya vya kuhifadhi taka ngumu katika soko la samaki la Mwaloni na kufanya usafi wa ufukwe wa ziwa Victoria. Upokeaji wa vifaa vya usafi uliongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe:Amir Mohammed Mkalipa na viongozi wengine wa Wilaya za Nyamagana na Ilemela na Soko la Mwaloni. Katika zoezi la usafi Benki ilishirikiana na taasisi ya HUDEFO na vijana wa kujitolea takribani 70 kutoka vyuo vya SAUT na TIA na wadau wengine wa Mazingira. Matukio haya yanaonesha juhudi thabiti za Benki ya Equity katika kuleta mabadiliko chanya katika usimamizi endelevu wa kuimarisha usafi wa mazingira na kukuza Uchumi wa Buluu katika ukanda wa Ziwa Victoria, pamoja na kuimarisha uwezo wa jamii na wajasiriamali.
Makabadhiano haya ya vifaa vya kuhifadhi tangu ngumu, yananalenga kuboresha kwa kiasi kikubwa hali ya usafi na usalama wa kiafya ziwani, kupunguza uchafuzi wa mazingira, na kuleta mabadiliko chanya katika ustawi wa kiuchumi na kiafya kwa wadau wote wa eneo hilo la soko la Samaki.Usafisha wa ufukwe wa Ziwa Victoria ulilenga kuondoa taka ngumu na plastiki kutoka ufukwe, kuzuia uchafuzi wa maji ya Ziwa Victoria, kuwajengea uwezo wadau wa ndani kupitia mafunzo ya usimamizi endelevu wa taka na faida za uchumi wa buluu, pamoja na kuhamasisha ushiriki wa wadau wa mazingira katika jitihada za uhifadhi.
Akizungumzia tukio hilo la pamoja, Bi. Hellen Dalali, Mkuu wa Uendelevu wa Benki ya Equity Tanzania, alisema kuwa Benki inaamini kwa dhati katika uwezeshaji wa jamii na ulinzi wa mazingira. Alibainisha kuwa shughuli hiyo haikuwa tu kusafisha ufukwe na kukabidhi vifaa, bali pia ilikuwa fursa ya kujenga uelewa wa umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji na kuimarisha uchumi wa buluu kwa kuwashirikisha wajasiriamali na vikundi vya jamii. Alisisitiza kuwa juhudi hizi ni kiunga muhimu cha mandhari ya benki ya kuinua maisha ya watanzania.
Benki ya Equity inatoa mikopo nafuu na dhamana maalum zinazolenga kuinua wajasiriamali hususani katika sekta za uchumi wa buluu, nishati safi, na usimamizi endelevu wa taka. Pia, benki inatoa mafunzo ya ujasiriamali na elimu ya kifedha bure kwa wadau katika sekta husika ili kuwajengea uwezo wa kuendesha biashara kwa weledi zaidi. Kwa maelezo: infotz@equitybank.co.tz simu 0768 985 500.
Mhe: Amir Mohammed Mkuu wa Wilaya ya Ilemela akizungumza na wananchi na wadau mbalimbali wa wilaya ya Ilemela katika hafla ya kukabidhi vifaa vya usafi.
Bi Hellen Dalali Mkuu wa Kitengo cha Uendelevu Benki ya Equity akizungumza na wananchi na wadau mbalimbali wa Wilaya ya Ilemela katika hafla ya kukabidhi vifaa vya usafi. Equity Bank Tanzania limited imeingia ubia na Klabu ya Simba katika kutoa kadi zenye chapa zao...
View MoreEquity Bank has today kicked off the issuance of Simba Fan Cards to over 20 million fans of the...
View MoreEquity Bank Tanzania has today handed over 5 mobile police posts to the Ministry of Home Affairs...
View MoreBenki ya Equity imezindua huduma za benki kwa njia ya kimtandao, huduma hizi zilizopewa jina...
View MoreThe new tax settlement avenue will be available for all TRA clients including non- Equity Bank...
View MoreEquity Bank Group, on Thursday announced that its profit after tax for the third quarter of 2014...
View MoreRegional financial services provider Equity Bank Group has returned to its traditional growth path...
View MoreEquity Bank Group’s investment in ICT and Focus on SME boosts profits by 11 percent in the year...
View MoreEquity Bank and American Express today announced a partnership agreement, through which Equity Bank...
View MoreThe approvals, which were secured during the firm’s 11th Annual General Meeting (AGM) held today...
View MoreRegional banking group, Equity Bank's reduction of interest rates by 700 bps from 25% to 18% has...
View MoreEquity Bank Group strengthens its fundamentals while expenses of ICT, Innovation and Product Rollout...
View MoreThe Group’s total assets posted a 24% growth during the year to close at Ksh 243 billion up from...
View MorePartnership to increase financial inclusion and boost EMV migration efforts in the region.
View MoreThe new identity is aimed at creating a sustainable growth path and service delivery in today’s...
View MoreEquity becomes the 1st bank in Eastern and Central Africa to achieve this milestone paving way for...
View MoreBecomes the first bank in Eastern and Central Africa to achieve the trillion-shilling balance sheet...
View MoreThe Award is conferred annually to exceptional individuals who exemplify their outstanding `business...
View MoreThe service presents the exciting prospect for the Tanzania community to receive seamless...
View MoreEquity Bank (T) leo imenzidua rasmi akaunti maalum ya utunzani fedha kwa kujiwekea kidogo kidogo ili...
ZaidiEquity Bank (T) imeahidi kuendelea kutoa elimu ya fedha na mikopo nafuu kwa vikundi vya uwekezaji na...
ZaidiCustomers with Equity Bank accounts can now transact seamlessly in any of the Equity Bank branches...
View MoreCustomers will have the freedom to execute forex requirements in real-time in a safe, convenient and...
View MoreEquity Bank Kenya Limited has received two International Standards Certifications - ISO 20000 and...
View MoreEquity Bank Tanzania has announced the appointment of Ms. Isabel Maganga as the new Managing...
View MoreEquity’s Eastern and Central Africa Recovery and Resilience plan is envisaged to provide financing...
View MoreEquity Group has eased its defensive strategy that had been deployed during the economic uncertainty...
View MoreThe partnership will champion the implementation of the Africa Recovery and Resilience Plan which...
View MoreDelegates from the United States of America (USA) have arrived in Dar es Salaam, Tanzania for a...
View MoreEquity Group Holdings Plc today reported Kshs.34.4 billion shillings profit after tax for the nine...
View MoreEQUITY GROUP REPORTS A RECORD KES 46.1B NET PROFIT AND A DIVIDEND PAYOUT OF KES 15.1B
View MoreNairobi Monday 13th May 2024… After reporting a 5% decline in profit after tax for the year ended...
Read MoreNairobi, Kenya, 3rd September 2024: Equity Group unveiled its third annual sustainability report for...
Read MoreNAIROBI, 12th November 2024: Against a backdrop of continued macroeconomic headwinds of high...
Read MoreNAIROBI, 27th March 2025: Equity Group Holdings Plc continues to deliver solid financial results,...
Read MoreNAIROBI, 29th May 2025: Demonstrating strategic agility and resilience in a dynamic global economic...
Read MoreEquity Group Holdings Plc has announced its Q3 2025 results, showcasing a robust performance driven...
Read MoreAsset Loan to Empower Women and Youth Entrepreneurs in Tailoring and Fashion Design Sector
Read MoreBenki ya Equity yazindua “wezesha account” akaunti ya amana ya muda maalum, inayolenga...
Learn More